Dah,yani hiyo simu nlihangaika nayo sana lakini sikuweza pata ufumbuzi wa ku unlock na kuweza kuchomeka simcard nyingine!Inahitaji box kuiflash na sio hivi hivi tu mkuu,nakushauri ununue modem 3g za kisasa hizi,tigo wanauza sh.30,000 zantel buku 25,hiyo ETS 2288 mi nliamua kuitumia kama simu ya mezani tu,ilinichosha!
Ila kama kuna wadau wanaiweza,watajitokeza kukujibu mkuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.