sawa imetoka nje na wewe umetumia siku 2 je huko ilikotoka imetoka dukani au ilikuwa inatumika ,na kama ilikuwa inatumika imetumika kwa muda gani,kutoka nje sio sababu ya kutotumikamkuu imetoka nje,nimeitumia two days,ipo poa waweza iona ukiwish.
Thanks kaka kwa challenge,hope sikujibu vyema,electronics ikitoka nje yaweza kuwa mpya au ya mtumba.hii haikuja na shop components zake jamaa kaniletea so ni ya mtumba.kusema nje imetumika mda gani i cant say but ipo bomba.thanks 4 nce comment.sawa imetoka nje na wewe umetumia siku 2 je huko ilikotoka imetoka dukani au ilikuwa inatumika ,na kama ilikuwa inatumika imetumika kwa muda gani,kutoka nje sio sababu ya kutotumika
Habari jamvinii, nina HTC mobile nauza model yake ni HTC DREAM. Ipo na charger yake. price ni 275000Tshs kama anayehitaji ani PM.
Je imekuwa locked kwa T-mobile au unaweza kuitumia kwenye mitandao yote,yaani unlocked?