engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
wana Jf hebu tuliangalie hili kwa undani zaidi,leo tarehe 14/05/2011 niliamuwa kujaza fomu ya body ya mikopo kwa ajili ya mke wangu ambae amepata nafasi ya kuja kusoma hapa china
nimeamka saa mbili asubuhi ya hapa china ni sawa na saa saba usiku ya Tanzania,nili amuwa kujaza asubuhi ya hapa nikitambuwa kuwa system itakuwa imetulia kwani jana tarehe 13/05/2011 nilijaza kwa mda wa mchana wa Tanzania lakini sikufanikiwa
Hata nilivyo amuwa kujaza saa saba usiku ya Tanzania bado matatizo ni yaleyale mala error in system(A Database Error Occurred
Error Number: 1062
Duplicate entry '1014' for key 2
INSERT INTO `demographicdetails` (`dob`, `districtid`, `regionid`, `registerid`) VALUES ('1979-08-28', '180', '6', '1014')
Na hapo tayari nilikuwa nimeshajaza fomu karibu nusu,nilipofika ktk sehemu ya EMPLOYER TYPE madudu yaka anza tena,nimejaribu zaidi ya mala kumi lakini wapi,tia maji tia maji
mambo kem kem na nilikuwa makini sana ktk kujaza ili nisikosee kwa kufuata masharti ya body wanavyotaka.
Swali langu ni kwamba kama HSLB hawakuwa tayari na OLAS kwanini waliamuwa kuianzisha?
kwa system hii wanafunzi wanaohusi watapata mkopo kweli?
kwa ushauri wangu naomba HSLB iachane na OLAS mpaka hapo watakapo kuwa tayari kuianzisha
kwani wazazi wanapoteza pesa nyingi sana ktk kulipia Internet kila siku na hakuna mafanikio yeyote yanayopatikana ktk ujazaji wa hizo fomu kwa system yao ya OLAS
HSLB acheni ubabaishaji ktk mambo ya msingi
nimeamka saa mbili asubuhi ya hapa china ni sawa na saa saba usiku ya Tanzania,nili amuwa kujaza asubuhi ya hapa nikitambuwa kuwa system itakuwa imetulia kwani jana tarehe 13/05/2011 nilijaza kwa mda wa mchana wa Tanzania lakini sikufanikiwa
Hata nilivyo amuwa kujaza saa saba usiku ya Tanzania bado matatizo ni yaleyale mala error in system(A Database Error Occurred
Error Number: 1062
Duplicate entry '1014' for key 2
INSERT INTO `demographicdetails` (`dob`, `districtid`, `regionid`, `registerid`) VALUES ('1979-08-28', '180', '6', '1014')
Na hapo tayari nilikuwa nimeshajaza fomu karibu nusu,nilipofika ktk sehemu ya EMPLOYER TYPE madudu yaka anza tena,nimejaribu zaidi ya mala kumi lakini wapi,tia maji tia maji
mambo kem kem na nilikuwa makini sana ktk kujaza ili nisikosee kwa kufuata masharti ya body wanavyotaka.
Swali langu ni kwamba kama HSLB hawakuwa tayari na OLAS kwanini waliamuwa kuianzisha?
kwa system hii wanafunzi wanaohusi watapata mkopo kweli?
kwa ushauri wangu naomba HSLB iachane na OLAS mpaka hapo watakapo kuwa tayari kuianzisha
kwani wazazi wanapoteza pesa nyingi sana ktk kulipia Internet kila siku na hakuna mafanikio yeyote yanayopatikana ktk ujazaji wa hizo fomu kwa system yao ya OLAS
HSLB acheni ubabaishaji ktk mambo ya msingi