Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Hivi nyie manokaa USA mmeshindwa kuwaambia hawa HP kuwa umeme wa kiwanda cha SIDO hatuna japo tuna mali ghafi zote za kuzalisha umeme...sasa iweje wao wanataka kuja kufungua kiwanda Tanzania ? Nchi imejaa wizi na urasimu uliotukuka
bora HP wakafungue kiwanda chao Msumbiji au Kenya au Rwanda
sisi bado maybe in the next 100 yrs...maybe
bora HP wakafungue kiwanda chao Msumbiji au Kenya au Rwanda
sisi bado maybe in the next 100 yrs...maybe