Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,407
- 8,900
niwaeleze nini, kwani nini maana ya picha....picha zinajieleza kama huelewi usikonde saa zingie ubongo wa watu tofauti unachukua muda kuelewa mambo tofauti, lkn naamini baada ya kuziangalia sana utazielewa wengine haiwachukui muda sana, lkn ndio hivyo......kaka picha tumeziona! moja ni kama hoyce yuko keroro halafu anauliza yani nyie mnasema mimi nimelewa?
yapili sijui ndo kashika bia au pochi haionekani vizuri ni kama imeungwa vile!
ila kaka pamoja na kuosha macho unataka kutueleza nini juu ya picha hizi hasa hapa kwenye jukwaa la siasa?