nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
hahahaahahahaaha kwa hiyo tatizo ni jamani zake...unajuaje kama alizoea kushinda na dada zake,imetosha bwana mmemsakama sana!
Tunajaribu kumwepusha ili asijiunge na timu pinzani hatuna nia mbaya. Ila mbona haujibu pm zangu?