Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Unatumia "nivea"teh teh teh
Kipi kikuchekeshacho?
Unatumia "nivea"teh teh teh
Kipi kikuchekeshacho?
It just ur Voice!!!
VOice yangu imefanyaje? Wewe unanifahamu nini?
Nakupata mno mtu wangu!
U wanna know my appearance? This is how i look like.
Sura yako inanifanya nitamani kuirudia ile ID yangu ya zamani.
MAPROSOO.
Mna kazi kwa kweli....
Kwani sura yangu ina nini hadi ikufanye wewe kurudia ID yako?
Huyo Maprosoo humjui eh halafu nilikupa angalizo unapokuwa unajibishana na wanaume utajijengea perception mbaya
Umenijulia wapi?
We jaman acha dhambi kwa mtoto wa mwenzio huyoVp kuhusu shanga mkuu?maana wasukuma+wapare+urembo ulio nao+shanga=Mhh
Hivi nyie mnaojiita wanaume humu kama si ubasha ni nini....kaka wa watu mnamsakama kwa muonekano wake ili iweje mnataka ajione si mwanaume ili muanze kumfukua,mshindwe na mlegee sehemu zenu muhimu!
Yaani huwezi amini mkuu. situmii mkorogo wowote. hata sabuni zangu za kuogea ni za kipande
hahahaahahahaaha kwa hiyo tatizo ni jamani zake...unajuaje kama alizoea kushinda na dada zake,imetosha bwana mmemsakama sana!Anashindwa kuitetea sura yake anabaki 'jamani, jamani'' sasa wanaume tumuelewe vipi ajikaze kama yeye ni mwanaume