kitonsa
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 1,211
- 2,636
Nikisoma mada mbali mbali kutokana na lugha wanayotumia wachangiaji huwa najenga picha fulani ya mwonekano halisi wa muhusika. Wengine nawahisi ni mijitu yenye sura mbaya na miumbo ya kutisha, yawezekana siwatendei haki. Naomba nijuze mwonekano wako?