How will you react?

Tokea nijiunge na jf, nimetokea kutumia PC siku moja tu na nilijaribu nikajaribu kuitafuta hiyo pm. Mh! Sikuoina pa wala am, nikabaki kuangalia avatar tu, nazo zilikuwa na maajabu yake kwangu. Kumbe nakosa mengi mwenzenu na naogopa kuja kuweka topic ambayo itabidi watu wani am au wani pm.

POLEe!
 
Mimi sina mbavu, reaction itoke wapi zaidi ya kugugumia kwa maraha na ma utamu ya wife mwenye experience ya siku mingi kwenye malavidavi. Mungu tutie nguvu kama hujui wanakuacha ukijua sana nalo tatizo tuweje? vugu vugu? siyo nzuri kabisa.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom