We nawe!Kwani alikwambia kazaliwa jana?Mapenzi ni sanaa ambayo sio lazima mtu ajifunze darasani.Ni ubunifu tu unaohitajika!
We nawe!Kwani alikwambia kazaliwa jana?Mapenzi ni sanaa ambayo sio lazima mtu ajifunze darasani.Ni ubunifu tu unaohitajika!
Polepole naanza kukujua lizzy!
Mi nakwambia inawezekana sana!Kwani huyo aliyeanzisha hayo yanayoitwa maujuzi alijifunza wapi?Ubunifu upo ndani ya mtu mwenyewe ndo maana pamoja na mafunzo yote yanayopatikana bado kuna watu hawajui pakuanzia!Lizzy ni kweli mapenzi ni sanaa na si lazima mtu ajifunze darasani.......... Ubunifu huwa kutokana na experience......... She's experienced bana hata mm ningeshtuka, ningejua nimenunua mbuzi kwenye gunia only to find ni nguruwe........
Huna uwezo wa kupata mpenzi mpaka ukakodishe huko?Kama lengo nikumpata mpiganaji hodari,basi mtu anaweza akajitwalia vitu vyake mitaa ya ohio(dar) au kaumba(moro town),kwa wale satisfaction is guaranteed.
Mmh embu niambie ambacho umeshajua Mzee Mpiganaji!
Aaah kumbe ndo vile...mkatili eh?Polepole nitakueleza binti!
Umepata mke/mme na kipindi chote cha mahusiano hamkuwahi kujuana kimwili.Baada ya kufunga ndoa,siku ya kwanza kupeana tunda,mke/mme anakuonyesha viwango vya hatari yaani full ma freestyle na sarakasi za kila aina kitandani.Huu uwezo kaupata wapi na kaupataje?
Aaah kumbe ndo vile...mkatili eh?
Umepata mke/mme na kipindi chote cha mahusiano hamkuwahi kujuana kimwili.Baada ya kufunga ndoa,siku ya kwanza kupeana tunda,mke/mme anakuonyesha viwango vya hatari yaani full ma freestyle na sarakasi za kila aina kitandani.Huu uwezo kaupata wapi na kaupataje?
Nifuate PM nikueleze!
Tangulia ukifika niite!