Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,938
- 1,437
Wataalam
Nina maswali na mjadala unahitaji maelezo ya kitaalam ili tuelimishane
kabla sijaenda mbali tembelea site hii This domain name has been seized by ICE - Homeland Security Investigations
Hapo unakutana na ujumbe wa Homelad security ya USA kuwa imeifunga hiyo website kutokana na sababu fulani fulani
Kifupi hiyo site imeshapata domain nyingine na unaweza kuipata hapa ATDHE.Net - Watch Free Live Sports TV
Sasa maswali na mambo nayopenda kujua.
3. Nataka kujua specificaly kwa Tanzania taratibu za serikali inazochukua mpaka kufikia website fulani kufungwa
Nina maswali na mjadala unahitaji maelezo ya kitaalam ili tuelimishane
kabla sijaenda mbali tembelea site hii This domain name has been seized by ICE - Homeland Security Investigations
Hapo unakutana na ujumbe wa Homelad security ya USA kuwa imeifunga hiyo website kutokana na sababu fulani fulani
Kifupi hiyo site imeshapata domain nyingine na unaweza kuipata hapa ATDHE.Net - Watch Free Live Sports TV
Sasa maswali na mambo nayopenda kujua.
- Kwa serikali ya US kufunga site wanafanya nini
- Wanawaamrisha wenye webserver waifute
- Wanawasiliana na watu wenye domain name eg. .net na kuwaambia waifute site husika
- Serikali au idara husika ya ya US ina vifaa vya kufuta au kufunga website bila kuwamrisha web server na domain hosting companies.
3. Nataka kujua specificaly kwa Tanzania taratibu za serikali inazochukua mpaka kufikia website fulani kufungwa
- Ni nani au ofisi gani yenye jukumu na madaraka ya kufunga au kuomba website fulani ifungwe hata kama haiko tanzania
- Ni ofisi gani na kitengo gani hasa tanzania inahusika kumonitor mambo ya Tovuti.
- Ni process gani ofisi hii inatumia kama kuna ulazima wa kufunga tovuti fulani