Jamani sipaoni mahali ambapo nitaweza kwenda kuedit avatar na signature yangu. Zamani nilikuwa naenda kwenye USERCP, lakini sasa nikienda sioni feature hizo za kuedit. Naombeni mnielekeze.
Ahsante sana JF. Mimi ni mwanachama mpya, lakini kabla ya kupost thread yeyote, naomba nitoe mchango wangu kwanza kwa JF kwa kazi kubwa waifanyayo. Nimesoma jinsi kulivyo na gharama za kuifanya kazi hii. JF tafadhari nitakutafuta nikutumie mchango wangu huo, kupitia Max kama maelezo yasemavyo.
Mimi ni mrs. Quality nimejiunga leo. Nimesoma maelekezo yote na nimeelewa vizuri sana. Hivi punde nitaweza kupost thread yangu ya kwanza. Invisible, Naomba unisaidie!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.