luvcyna
JF-Expert Member
- Feb 24, 2009
- 1,848
- 1,938
Habarini wakuu..
Naombeni tusaidiane hapa kwa wenye uelewa na hivi vitu,.
Ni namna gani nitaweza ku unlock sim hii niweze kutumia mitandao mingine tofauti na tiGo.
kila ninapoweka line nyingine inaniambia enter unlocking codes....nikajaribu kutumia calculater software za huawei nikipachika codes wapi, inagoma...
Msaada pliz
Naombeni tusaidiane hapa kwa wenye uelewa na hivi vitu,.
Ni namna gani nitaweza ku unlock sim hii niweze kutumia mitandao mingine tofauti na tiGo.
kila ninapoweka line nyingine inaniambia enter unlocking codes....nikajaribu kutumia calculater software za huawei nikipachika codes wapi, inagoma...
Msaada pliz