qq.com
JF-Expert Member
- Jan 9, 2012
- 367
- 123
Ninatumia reciver ya media com 910 kupitia LNB ya C Band ya juu inakopatina ALJAZEERA nimeweza kupata channel za ziada na signal zake ziko full kuanzia signal 50% hadi 98% lakini zinatoa message kwamba ziko encrypted(encrtypt progm) mfano ni pamoja na MGM,Sport,BBC Word,Net GEO,Ten sport nk
sasa naomba kujua kuna nama ninavyoweza kuzifungua kwenye dish la ft 6?
nitashukuru
sasa naomba kujua kuna nama ninavyoweza kuzifungua kwenye dish la ft 6?
nitashukuru