How to prevent "Infidelity"

Smile,

Hiyo mikakati yako iko kwenye nadharia sana. Too theoretical and hypothetical to be realistic.

Infii ni muhimu sana katika kuimarisha main home. Believe me, this package can't help. I bet you $10K

Well...I bet for the peace in ur home....
No prices! ili siku mambo yakiharibika nyumbani usisite kuja kuniomba ushauri.....:becky::becky:
 
Kambi ya upinzani haina hata viongozi bana....eti mi ndo katibu wa anti-infidelity......:becky:....
Hapa naweka kumbukumbu zote kapuni.....

Hamna kitu hapo.....
Hapa namsubiri Beauty atoke huko alikojificha ili tutoe msimamo wetu thabiti.....

Beautyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy..........
Sijui kapitiliza kajua bado weekend :confused2::confused2::confused2::confused2:
 
Well...I bet for the peace in ur home....
No prices! ili siku mambo yakiharibika nyumbani usisite kuja kuniomba ushauri.....:becky::becky:
Aje akuombe ushauri?

Nani alikuambia kuna mwanachama hai wa ISC anaharibikiwa nyumbani? FYI chama kinamlinda!
 
Muulize bacha....mara ya mwisho alituambia yuko kwenye kambi yake...:becky::becky::becky:
tehe tehee!!
zisi sredi is vere nanihii.

Umeona rule number mbili?........msikae karibu na kitanda....mmh!!
 
Hivi Spika nani ana mamlaka ya kumng'oa?

Kambi ya upinzani haina hata viongozi bana....eti mi ndo katibu wa anti-infidelity......:becky:....
Hapa naweka kumbukumbu zote kapuni.....

Hang'oleki.....labda apate ajali iharibu central system yake...:becky:


anang'oka tu msisahau mikutano iliyopita jamani....actuale meza kuu kwa maana ya NEC ina full mandate ya ku do ze nidiful... lol
 
anang'oka tu msisahau mikutano iliyopita jamani....actuale meza kuu kwa maana ya NEC ina full mandate ya ku do ze nidiful... lol
Neno lako ni amri. NEC ya ISC itamng'oa huyu spika kwa kuruhusu mijadala mibovu kama hii:confused2:
 
Well...I bet for the peace in ur home....
No prices! ili siku mambo yakiharibika nyumbani usisite kuja kuniomba ushauri.....:becky::becky:

Akija kukuomba ushauri itabidi muingie kwenye chumba ili mradi hakina kitanda.......:becky::A S 8:
 
Well...I bet for the peace in ur home....
No prices! ili siku mambo yakiharibika nyumbani usisite kuja kuniomba ushauri.....:becky::becky:

Hakuna kuharibika kitu hapa. Infii home zinaishi kwa realities na siyo hypothetical life. Kwa hiyo watu wanaosubiri ushauri wako ni wale wanaoishi kwa nadharia ya hizo rules zako.

Hebu fikiria amani na bashasha unazokuwa nazo ukirudi home unajua kuwa kuna kibarua cha kumalizia baada ya kupata organic flavours huko kwenye uwanja wa ugenini? Ni kitu muhimu sana hicho kuliko kujaribu kujifungia kwenye uzio wenye matundu kila upande!
 
Dah.....I know Asprin and the team is goin to hate me for this...
lakini ni vizuri kuzingatia haya:

1. Maintain appropriate walls and windows. Keep the windows open at home. Put up privacy walls with others who could threaten your marriage.

2. Recognize that work can be a danger zone. Don't lunch alone or take coffee breaks with the same person all the time. When you travel with a co-worker, meet in public rooms and not in a room with a bed.

3. Avoid emotional intimacy with attractive alternatives to your committed relationship. Resist the desire to rescue an unhappy soul who pours his or her heart out to you.

4. Protect your marriage by discussing relationship issues at home. If you do need to talk to someone else about your marriage, be sure that person is a friend of the marriage. If the friend disparages marriage, respond with something positive about your own relationship.

5. Keep old flames from reigniting. If a former lover is coming to the class reunion, invite your partner to come along. If you value your marriage, think twice about having lunch with an old flame.

6. Don't go over the line when you're online with Internet friends. Discuss your online friendships with your partner and show him/her your e-mail if he/she is interested. Invite your partner to join in your correspondence so your Internet friend won't get any wrong ideas. Don't exchange sexual fantasies online.

7. Make sure your social network is supportive of your marriage. Surround yourself with friends who are happily married and who don't believe in fooling around.


*He He He* all the best jamani...

The following message is infected by virus ndivyo kompyuta yangu inavyosema smile sijui kwa wapwa zangu wengi
 
Akija kukuomba ushauri itabidi muingie kwenye chumba ili mradi hakina kitanda.......:becky::A S 8:

Hii imetulia sana. Naamini hatajali kama kuna carpet au la. Na kama kuna meza au kiti. May be hicho chumba anachoongelea hakina hata kuta....LOL!!
 
Weraaaaaaa weraaaaaaa mtajipanga sawa sawa eti memory zimepotea fungueni macho mtasoma tu.

Heko heko heko nyingi kwako Smiles.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom