kambi ya upinzani imeleta draft bill mbadala wakati original bill imeshajadiliwa na kupitishwa.Hapa mnajadili nini vile?
kambi ya upinzani imeleta draft bill mbadala wakati original bill imeshajadiliwa na kupitishwa.
kambi ya upinzani imeleta draft bill mbadala wakati original bill imeshajadiliwa na kupitishwa.
Mi sloo lena bana nielimishe
Well...nimeelewa.....
dah sorry nshasahau....naomba kuangalia avatar yako kidogo.....(Asprin haoni posti hii)
Aisiii! Hii kambi kweli imefulia. Ngoja nirudi kule nyumbani. Katibu hii usiinukuu tafadhali:lol::lol:
Wapi mshauri wa ufundi......upande wa 4X4XFar....FidelNani aliyekuambia hii ni kambi ya upinzani??
Wapi beauty....
Ukiona uvivu wa kutype sana we we twanga tu ISC! Tutakuelewa!Hapana: hiyo imewekwa hapo mahsusi kwa members wa infidelity social club.....
They know what i mean!:becky:
Hii haiingii kwenye kumbukumbu!........hivi bht wapi jamani? ...huyu tungempa kazi ya U-mabere marando wa ze club.Aisiii! Hii kambi kweli imefulia. Ngoja nirudi kule nyumbani. Katibu hii usiinukuu tafadhali:lol::lol:
........tehe tehee!! samahani...ISC? au?Hapana: hiyo imewekwa hapo mahsusi kwa members wa infidelity social club.....
They know what i mean!:becky:
Muulize bacha....mara ya mwisho alituambia yuko kwenye kambi yake...:becky::becky::becky:Hii haiingii kwenye kumbukumbu!........hivi bht wapi jamani? ...huyu tungempa kazi ya U-mabere marando wa ze club.
Mh, Katibu na mweka hazina..jamani hivi Spika analiona hili kweli amekubalije hii hoja ije hapa mezani? hawa kambi ya upinzani inabidi wafungiwe kwa wiki moja...
Mh, Katibu na mweka hazina..jamani hivi Spika analiona hili kweli amekubalije hii hoja ije hapa mezani? hawa kambi ya upinzani inabidi wafungiwe kwa wiki moja...
Hapana: hiyo imewekwa hapo mahsusi kwa members wa infidelity social club.....
They know what i mean!:becky:
Hivi Spika nani ana mamlaka ya kumng'oa?