Nenda Loyola High School,Mabibo Farasi - Dar es salaam.Pale huwa wana mtu anayeshughulika na miito.Zamani alikuwa Fr. Edmund Mallya SJ lakini kwa sasa nafikiri atakuwa mtu tofauti.Pia wana-community ya wa-jesuit pale kwa hiyo inaweza kuwa rahisi kupata taarifa zote muhimu.Goodluck!
Sent from my BlackBerry 9650 using JamiiForums
St. Antony sio shule yao? Mwanza najua wanaendesha kanisa la St Francis Xavier pale Nyakahoja. But Loyola kule mabibo pia inaendeshwa na mapadri hao wa shirika la Jesuit...
Wana jf kama kuna mdau mwenye details za kujiunga na shirika la Jesuits naomba anijuze na kielimu mie ni graduate. All the best guys with constructive and destructive criticism.
Wanalipa mshahara tsh ngapi?
Una akili Za kutosha au za kuunga unga?Wana jf kama kuna mdau mwenye details za kujiunga na shirika la Jesuits naomba anijuze na kielimu mie ni graduate. All the best guys with constructive and destructive criticism.