platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,363
- 11,147
platozoom hii like ni kwamba umeiseti kila post ya Asprin uigonge? hapa mimi naomba kitufe cha dislike mnake ni ushauri mbaya kabisa.
kujeruhiwa doesn,t mean end of life wala hakubadilisha ukweli kwamba wewe ni mwanadamu, and so far maisha hayaja maaanishwa kwa wale ambao hawajajeruhiwa bana maisha ni kwa wote the ishu here is struggle utoke ulipo.
Kama mbwai mbwai.......au sio Asprin
Last edited by a moderator: