how to heal from a breaking relationship?

platozoom hii like ni kwamba umeiseti kila post ya Asprin uigonge? hapa mimi naomba kitufe cha dislike mnake ni ushauri mbaya kabisa.

kujeruhiwa doesn,t mean end of life wala hakubadilisha ukweli kwamba wewe ni mwanadamu, and so far maisha hayaja maaanishwa kwa wale ambao hawajajeruhiwa bana maisha ni kwa wote the ishu here is struggle utoke ulipo.

Kama mbwai mbwai.......au sio Asprin
 
Last edited by a moderator:
Matokeo utayaadmit, lakini kwa wengine kumuondoa mtu moyoni is a big issue. Watu wanapenda bwana 100% in love, yeye hajiachii hata % moja.

Kwa hali hiyo lazima aje ateseke sana. Kwenye mapenzi jipe 50% na yeye mpe 50% ili ukiachwa uone kawaida.

my dia tatizo wengne tukipenda tunajitoa mwili,akili na damu. hapo ndipo huwa pananigharimu. wat can i do jamani?
 
Acha wivu nenda kagonge LIKE pale..... Usikompliketi sana maisha bana! Maisha ni mafupi enjoy!!

kls-wmk.php

Mate yanachezacheza kumdomo.........that is fantastic kwa kweli .....Pamoja saana (source AshaDii)
 
Last edited by a moderator:
Wapenzi wa MMU asbh ya leo hebu tujifunze jambo dogo lakin la muhimu kweli juu ya mahusiano yetu kwa mba ni jinsi gani twaweza kupona kutoka katika mahusiano yaliyovunjika. mimi nianze kwa kutoa mbinu chache wengine mtamalizia:-

1) usikimbilie kabisa kuanzisha mahusiano mapya jipe muda uwez kusoma upepo.
2) jitengenezee marafiki wa kawaida ambao ni wa sex tofauti ili wakupe company tu hasa ya outing ili kukutoa upweke
3) hakikisha marafiki unaoweza kutengeneza ni wale ambao wako kama wewe yaani siyo couples zitakazo kuumiza moyo
4) hakikisha kama unataka kuanzisha mahusiano u pick from the group na ndio sababu ya kusema uwe na marafiki wa kampany tu.

nawasilisha. karibuni kwa mchango wenu
gfsonwin,hapo kwa red yaani natamani ungekua unaniona jinsi nilivyoshikwa na hasira ya gafulaaa.......daah basi tu aiseee
Tatizo la upande wa pili yaani kwa lugha ingine wanaume hawajui urafiki wa kampani tuuuu wao muda wote wanawaza dudu!!!!! Hata kama wewe utaonyesha huna mpango wa kuwa nae kimapenzi lakini yeye atafanya kila jitihada aende kusiko.....hapo ndio ninapoishia kuwa na utata kwa kila mwanaume ninae kutana nae loooh

Natafuta rafiki wa kiume wa company tuuuuu......hahahaaaa uwiiiiii nafwaaaaa
 
Last edited by a moderator:
SEPARATION is a WOUND that no one can HEAL!
NO Smile watu wangekufa wengi THERE IS MUCH TIME TO START AFREASH BELIVE NOT.usije ukawa na wewe unang'anga'nia ukisema separation is a wound kama yule dada aliyeburutwa kwenye lami sikio likaisha lote na mgongo ukachubuka mpaka unauona uti wa mgongo ati .
 
Last edited by a moderator:
my dia tatizo wengne tukipenda tunajitoa mwili,akili na damu. hapo ndipo huwa pananigharimu. wat can i do jamani?
charminglady hebu kuwa mtu mzima ma dia, stop loving kwa kutumia moyo tumia akili yako bana. mbona life is simple? chumba cha moyoni reserve it for your kids jamani mweke mwenzio akilini mwako so jifunze kuangalia weakness zake zi admit zikague kama waweza kuzihimili if you cant usiumize akili if you can just proceed na upatapo baya ona kabisa kwamba hili nililitegemea kwamba laweza kutokea how should i go about it is another thing.

yaani kweli sijui mimi nimeumbwa watofauti ama?
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin,hapo kwa red yaani natamani ungekua unaniona jinsi nilivyoshikwa na hasira ya gafulaaa.......daah basi tu aiseee
Tatizo la upande wa pili yaani kwa lugha ingine wanaume hawajui urafiki wa kampani tuuuu wao muda wote wanawaza dudu!!!!! Hata kama wewe utaonyesha huna mpango wa kuwa nae kimapenzi lakini yeye atafanya kila jitihada aende kusiko.....hapo ndio ninapoishia kuwa na utata kwa kila mwanaume ninae kutana nae loooh

Natafuta rafiki wa kiume wa company tuuuuu......hahahaaaa uwiiiiii nafwaaaaa

Hahahahaha! Wife bana....haiwezekaniki eh? Labda uwe rafiki ya baba yako asee, maana hata makaka hatutabiriki LOL. Hata mie nakuunga mkono.

attachment.php
 
gfsonwin,hapo kwa red yaani natamani ungekua unaniona jinsi nilivyoshikwa na hasira ya gafulaaa.......daah basi tu aiseee
Tatizo la upande wa pili yaani kwa lugha ingine wanaume hawajui urafiki wa kampani tuuuu wao muda wote wanawaza dudu!!!!! Hata kama wewe utaonyesha huna mpango wa kuwa nae kimapenzi lakini yeye atafanya kila jitihada aende kusiko.....hapo ndio ninapoishia kuwa na utata kwa kila mwanaume ninae kutana nae loooh

Natafuta rafiki wa kiume wa company tuuuuu......hahahaaaa uwiiiiii nafwaaaaa

lol! vaa sura ya kaazi aisee mimi huwa nina marafiki wa kiume ambao tumeshibana sana kiasi kwamba they cannt propose anything to me ila kwenda tu brajec kunywa mvinyo, nikiwa na shosti wangu cacico hawa ndo kazi yao and we are happy sana tu. tena ni sehem nzuri san ya kurelease tension manake wakaka wanastori na matani sana.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Hahahahaha! Wife bana....haiwezekaniki eh? Labda uwe rafiki ya baba yako asee, maana hata makaka hatutabiriki LOL. Hata mie nakuunga mkono.

attachment.php

kumbe wewe ndo uliyemmimbaga huyu mwanafunzi wangu eeh! nishakustukia Asprin yaani kova na vijana wake lazima wakuijilie sasa hivi
 
Last edited by a moderator:
mamie gfsonwin inabidi uniazime moyo wako kwa muda. kila cku niwe nachota maujuzi. btw jf imenisaidia sana nwdays. . . naishukuru saaaana!
 
Last edited by a moderator:
Wapenzi wa MMU asbh ya leo hebu tujifunze jambo dogo lakin la muhimu kweli juu ya mahusiano yetu kwa mba ni jinsi gani twaweza kupona kutoka katika mahusiano yaliyovunjika. mimi nianze kwa kutoa mbinu chache wengine mtamalizia:-

1) usikimbilie kabisa kuanzisha mahusiano mapya jipe muda uwez kusoma upepo.
2) jitengenezee marafiki wa kawaida ambao ni wa sex tofauti ili wakupe company tu hasa ya outing ili kukutoa upweke
3) hakikisha marafiki unaoweza kutengeneza ni wale ambao wako kama wewe yaani siyo couples zitakazo kuumiza moyo
4) hakikisha kama unataka kuanzisha mahusiano u pick from the group na ndio sababu ya kusema uwe na marafiki wa kampany tu.

nawasilisha. karibuni kwa mchango wenu
nafikiri kwangu yatosha hiyo suluhisho ni jinsi moyo ulivyolipokea jambo wengine hunywa bia zakutosha na mbuzi choma kazi imeisha pakikucha anatafuta pakuanzia wanawake ndio wagumu kukubali wanalia weeeeeee nakubembeleza ambayo haisaidii unapoteza nguvu na vicha.wacha mawasiliano naye nyamaza kimya move on
 
lol! vaa sura ya kaazi aisee mimi huwa nina marafiki wa kiume ambao tumeshibana sana kiasi kwamba they cannt propose anything to me ila kwenda tu brajec kunywa mvinyo, nikiwa na shosti wangu cacico hawa ndo kazi yao and we are happy sana tu. tena ni sehem nzuri san ya kurelease tension manake wakaka wanastori na matani sana.

Shosti najitahidi kuweka sura ya mbuzi haswaaaa lakini waaaapi.......hebu nipe maujanja walau. Si kwamba sina washkaji wanaume ninao watoka enzi hizo wengi tu na matani ya hapa na pale ila wanajua kabisa hawapati kitu. Tatizo ni hawa wapya ambao tunakuta ukubwani ndugu yangu,ndo mgogoro mtupuuuu!!!
 
Back
Top Bottom