Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Unajua dena kuna watu wanajitoa muhanga kuelezea maisha yao ili watu wengine wajifunzeCD jaribu kuwa makini na kile unaandika na kushauri kwa sababu unaonyesha uko so rude even if thread/mada imekugusa kiasi gani heshimu mtu sio siri sipendi vile unavyojibu thread za watu una maneno makali ambayo sio siri HAYAFAI and its not fair.
NB: JE nashindwa kuendelea kuifatilia kwa ajili yako
Note: This is from the bottom of my heart.
lakini kuna watu hawaoni hilo, kwa mfano huyu mama , angeamua kuruka na kuelezea uzinifu
wa mume wake tu tungejua haya? tungebaki kusema tu ooooh wanaume wabaya, sema wanawake nao wa
baya ila wana njia zao za kuwa wabaya na bado jamii ikawaona ni wazuri
Soma artical jifunze upate kufanya maisha yako au sia Dena