ndugu yangu Hacking business means you must be good in codes and other It Technology i dont think you will get answer here because most waBongo wanaakili lakini ni wavivu sana katika nyanja hii
Hacking mara nyingi inataka ubunifu unaoendana na kucrack your brain for so long
Belive me you wont get answer from this JF Forum
Thank you big man, together always let me try and see.After few minutes of gathering helpful information about your subject I advice u go and read this article from the link Cracking WEP and WPA Wireless Networks - Docupedia.
It has s nice answer to basic questions on how to crack /hack secured wireless networks
Wich//What Tools to use?
How to Use them
What problem u might face in cracking secure wireless and alternative workarrounds.
Wabongo wengine kwa kupenda dezo! Halafu hawana hata aibu, wanaomba kujua jinsi ya kuiba mitandao ya watu wengine, joker smoker style.
Hata ukiwapa link watakuuliza uwatafsirie kilichoandikwa kwenda kiswahili.
Na wabongo wengine kwa kukandya wabongo wenzao.Eti ni lazima ujue "code", nini code, kuna watu wanajua kuandika code za kuandika code, na wabongo vile vile.
And then kesho keshokutwa tunajibaraguza kuja kushambulian ufisadi hapa, kumbe wengine ufisadi ni jadi yao na upo katika damu, hawauonei hata aibu.
Oooovyo!
Acha hizo wewe, ku-iba wireless conection ni ku-share umaskini tu, tafuta tafsiri sahihi ya ufisadi, otherwise kulock internet yako ili isitumiwe na wengine ni ufisadi
Wabongo wengine kwa kupenda dezo! Halafu hawana hata aibu, wanaomba kujua jinsi ya kuiba mitandao ya watu wengine, joker smoker style.
Hata ukiwapa link watakuuliza uwatafsirie kilichoandikwa kwenda kiswahili.
Na wabongo wengine kwa kukandya wabongo wenzao.Eti ni lazima ujue "code", nini code, kuna watu wanajua kuandika code za kuandika code, na wabongo vile vile.
And then kesho keshokutwa tunajibaraguza kuja kushambulian ufisadi hapa, kumbe wengine ufisadi ni jadi yao na upo katika damu, hawauonei hata aibu.
Oooovyo!
Kwani kasema anataka kuiba au anataka Dezo? kasema anataka kujua jinsi ya kuhack/crack. kuna kitu kinatwa ethical hacking. ukijua jinsi ya ku hack au ku crack unaweza kujua njia nzuri zaidi ya kuprotect wireless.
kujifunza au kujua mbinu za wizi haina maana lazima unataka kuwa mwizi
I hope I wont be asked to purshase my own link as a solution.