Skillseeker
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 225
- 34
habari zenu wanaJF,
ninatumia nokia 5235. Katika kujaribu kwangu kupata baadhi ya application ambazo ninangeweza kuzitumia kwenye simu yangu na ni fullversion(cracked applications) naona kwenye baadhi ya watu wanaoupload hizi applications waweka note wakisema "this will work if your phone is hacked"..sasa naombeni mnielimishe na kunifunza wanachokimaanisha....
Je wanamaanisha nichukue simu nyingine nihack simu yangu(kama tunavyoelewa jinsi computer moja inavyotumika kuhack katika computer nyingine) au huku kuhack ni kwa namna nyingine...
ninatumia nokia 5235. Katika kujaribu kwangu kupata baadhi ya application ambazo ninangeweza kuzitumia kwenye simu yangu na ni fullversion(cracked applications) naona kwenye baadhi ya watu wanaoupload hizi applications waweka note wakisema "this will work if your phone is hacked"..sasa naombeni mnielimishe na kunifunza wanachokimaanisha....
Je wanamaanisha nichukue simu nyingine nihack simu yangu(kama tunavyoelewa jinsi computer moja inavyotumika kuhack katika computer nyingine) au huku kuhack ni kwa namna nyingine...