Ndugu wanajamiiforums!
Kama mtu anataka serikali impe ardhi kwa kipindi cha miaka 99 afanyeje? Ardhi yenyewe ni kwa ajili ya kilimo na mifugo.
Kuna watanzania wana elimu ya kilimo na mifugo na wamejiunga kikundi na wanataka kupata ardhi kama heka 20 mpaka 60 kwa ajili ya kuanza mradi wa kilimo na ufugaji.
Ardhi yenyewe inatakiwa Arusha au Morogoro.
Hawajui pa kuanzia na wanaogopa serikalini kuna 'bureaucrasy'
Wameitikia wito wa Kilimo kwanza na wanataka kujiajiri na pia kupata mkopo benki.
Wanataka ardhi yenye kufaa kwa kilimo na mahali penye mvua ya uhakika au uwezekano wa umwagiliaji.
Wana Jamii forums wenye habari zozote tafadhali toeni msaada.
Wanajamii wengine wana ruksa kujiunga, karibuni
Kama mtu anataka serikali impe ardhi kwa kipindi cha miaka 99 afanyeje? Ardhi yenyewe ni kwa ajili ya kilimo na mifugo.
Kuna watanzania wana elimu ya kilimo na mifugo na wamejiunga kikundi na wanataka kupata ardhi kama heka 20 mpaka 60 kwa ajili ya kuanza mradi wa kilimo na ufugaji.
Ardhi yenyewe inatakiwa Arusha au Morogoro.
Hawajui pa kuanzia na wanaogopa serikalini kuna 'bureaucrasy'
Wameitikia wito wa Kilimo kwanza na wanataka kujiajiri na pia kupata mkopo benki.
Wanataka ardhi yenye kufaa kwa kilimo na mahali penye mvua ya uhakika au uwezekano wa umwagiliaji.
Wana Jamii forums wenye habari zozote tafadhali toeni msaada.
Wanajamii wengine wana ruksa kujiunga, karibuni