Dah aisee umenipa mchecheto mkuu!Unaweza kuanza kwa kuwa reseller yaani unanunua parkage ya kama gb 10 toka kampuni fulani then wewe unauza kwa wenzako utapata faida kutokana na hiyo na unaweza pia kuwasiliana na tznic wanaweza kukufanya wakala wa kuuza tld za dot tz subiri wengine wachangie zaidi ntarudi baadaye ila hiyo niliyosema ndio rahisi zaidi kama uko tanzania
Unaweza kuanza kwa kuwa reseller yaani unanunua parkage ya kama gb 10 toka kampuni fulani then wewe unauza kwa wenzako utapata faida kutokana na hiyo na unaweza pia kuwasiliana na tznic wanaweza kukufanya wakala wa kuuza tld za dot tz subiri wengine wachangie zaidi ntarudi baadaye ila hiyo niliyosema ndio rahisi zaidi kama uko tanzania