TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,889
- 11,285
Wadau
Kuna jambo linanisumbua kweli wiki hii... I hvae been asking myself juma jumla sana, how to be a good partner??
Nauliza hivi kwa sababu ukisoma humu, ukisikiliza kitaa na hata nyumbani, inaonekana ni vigumu sana kuwa a good partner...
kwa wababa
Utaambiwa simu yako inaita kila wakati
jana umechelwa kurudi
hivi wewe mbona hutokagi nje kutembea kama wenzako?
watoto wanataka wewe ndio uwapeleke shule
nimeona sms ya msichana kwenye simu yako
una wivu sana
mbona hunionei wivu
nikivaa hivi itakuaje
sipendi unikosoe nguo niliyovaa hata kama huipendi mimi naipenda
hiki kitambi ni changu wewe kinakusumbua nini?
usiongee na wanawake wengine kazini
hivi wewe huna rafiki?
unakunywa sana
mbona leo hujanywa kabisa unaumwa?
na mambo kadha wa kadha
nisaidieni wanataaluma wa mapenzi
Kuna jambo linanisumbua kweli wiki hii... I hvae been asking myself juma jumla sana, how to be a good partner??
Nauliza hivi kwa sababu ukisoma humu, ukisikiliza kitaa na hata nyumbani, inaonekana ni vigumu sana kuwa a good partner...
kwa wababa
Utaambiwa simu yako inaita kila wakati
jana umechelwa kurudi
hivi wewe mbona hutokagi nje kutembea kama wenzako?
watoto wanataka wewe ndio uwapeleke shule
nimeona sms ya msichana kwenye simu yako
una wivu sana
mbona hunionei wivu
nikivaa hivi itakuaje
sipendi unikosoe nguo niliyovaa hata kama huipendi mimi naipenda
hiki kitambi ni changu wewe kinakusumbua nini?
usiongee na wanawake wengine kazini
hivi wewe huna rafiki?
unakunywa sana
mbona leo hujanywa kabisa unaumwa?
na mambo kadha wa kadha
nisaidieni wanataaluma wa mapenzi