How to Avoid Drug Overdose

Kana-Ka-Nsungu

JF-Expert Member
Oct 4, 2007
2,257
353
Kufuati kifo cha Heath Leadger aliyefariki juzi akiwa na umri wa miaka 28 tu huko Manhattan kwa suspected drug overdose, naona kuna umuhimu wa kujadili suala la Drug Overdose. Yeye sio wa kwanza, wapo macelebrities wengi ambao wamekufa kwa drug overdose za presicribed or illicit drugs kama kina Marilyn Monroe, Elvis Presley, Anna- Nicole Smith, Ike Turner (Former husband wa Tina Turner), Russell Jones (aka Ol'Dirty Bastard), na wengine wengi. Naona kuna umuhimu tukaanzisha thread hii ili tuweze kusaidiana na kuhakikisha kwamba we all stay safe.

Kwa kuwa mimi ni mtaalam wa madawa ya kulevya mainly heroin and cocaine, tips zangu zitalenga huko...
1.Usitumie haya madawa ukiwa peke yako, hii itasaidia if something goes wrong unajua kuna watu watakusaidia kutafuta msaada.

2.Tumia kiasi kidogo kwanza kwa majaribio kama ni mara yako ya kwanza.

3.Pia unatakiwa uwe na regular supplier, na sio kununua kwa watu tofauti tofauti kila siku. Kuna uwezekano mkubwa wa kuuziwa madawa yalichanganywa na vitu vingine kama supplier haukufahamu.

4.Usi inject, kuvuta madawa ni njia salama kuliko kujidunga.

5.Usiogope kuita ambulance kama unahisi utapata OD, hata kama sio wewe lakini upo na mtumiaji na unahisi ata OD. Wengi huogopa kuita mabulance kwa kuhofia kwamba polisi nao watakuja.

6.Kama u mtumiai madawa mzoefu lakini hujatumia kwa siku kadhaa kwa kuwa labda ulikua hospitali au gerezani, etc ni muhimu unapoanza tena kutumia uwe careful, usitarajie mwili wako utaweza kuhandle dozi ile ile ya kila siku.

7.Usichanganye madawa(prescribed na unprescribed)

8.Usichanganye madawa na pombe.

9.Kula msosi wa kueleweka, OD ni common kwa miili dhaifu.

10. Ongea na watalaam kila mara upate ushauri wa kitaalam.

Stay safe brothers and sisters.
 
Imekaa vibaya, hilo haijatulia.
Imekaa kihamasishaji kutumia madawa ya kulevya kuliko kuonya kutumia madawa.

Nadhani kama legho lako lilikuwa ni kushauri watumiaji, basi walau mwishoni ungeweka TAHADHARI madawa ya kulevya ni hatari kwa afya.
 
Hii imewekwa hapa kwa wanaotumia sasa na wale ambao wanafikiria kutumia, sidhani kama kuna kuna ninachoweza kufanya kumzuia mtu asitumie. Ungeweza kuliweka hilo hapa kama mchango wako kuhusu suala hili.
 
Ahsante, Huko majuu 'prescribed drug' means 'madawa ya kulevya ambayo yamekuwa prescribed?'

Huku nilikozoea nilijua 'prescribed medication' Suggestion 1-4,6 hazihold,
I mean lugha gongana!

OD ni common kwa miili dhaifu
Hiyo ni nini? once a day?
 
Ahsante, Huko majuu 'prescribed drug' means 'madawa ya kulevya ambayo yamekuwa prescribed?'

Huku nilikozoea nilijua 'prescribed medication' Suggestion 1-4,6 hazihold,
I mean lugha gongana!


Hiyo ni nini? once a day?

Prescribed drugs ni madawa ambayo umeandikiwa na Doctor, sio majuu tu, hata bongo.

OD= Over Dose.

medication according to Cambridge Online dictionary is:
a medicine, or a set of medicines or drugs used to improve a particular condition or illness:

Kwa hiyo drug=medicine.
 
Prescribed drugs ni madawa ambayo umeandikiwa na Doctor, sio majuu tu, hata bongo.

OD= Over Dose.
Kwa hiyo drug=medicine.

Then kwa hizo recommendations zako naona nyingi haziaaply katika maana ambayo umeiainisha hapo.
OD katika prescriptions means once a day,
Kwa hiyo recomendations zilikuwa ni kwa wale ambao wako katika 'prescriptions za illicit drugs?

Kufuati kifo cha Heath Leadger aliyefariki juzi akiwa na umri wa miaka 28 tu huko Manhattan kwa suspected drug overdose,
Huyu mwigizaji aliyekufa recently, dawa alizokunywa ni 'prescribed sleeping pills'.

Kwa hiyo hii mada inasimama kwa jinsi ya kuzuia overdose katika madawa ya kulevya?
 
Soma btn the lines Kasana, utaona kwamba nimesema mimi binafsi nitaanza kwa kutoa hints zangu kwenye eneo ambalo nina utaalam nalo- illicit drugs. Lakini hii thread ni ya namna ya kuzuia Overdose(OD) kwa madawa yote.Katika ulimwengu wa madawa ya kulevya OD maanake ni Overdose.
Illicit kwa kiingereza rahisi ni illegal, kwa hiyo usitemee illicit drugs kuwa prescribed na doctor.
 
Lakini hii thread ni ya namna ya kuzuia Overdose(OD) kwa madawa yote

Tuendelee mkuu, nimekupata!

Concern yangu ni kuwa jinsi ya kuzuia overdose katika madawa ya kulevya ni tofauti kidogo na kuzuia overdose katika madawa kwa ajili ya tiba. Na baadhi ya njia zinaweza zikawa zinajicontradict.

Any way kwa jinsi ya kuzuia overdose kwa madawa ya kulevya. Kwangu mimi hii haijatulia.
 
Some of the more common symptoms that could indicate an overdose include-Hallucinations,extreme dizziness,slurred speech,abnormal pulse,dificulty breathing,change in pupil size, fainting,intense sweating, rapid change in body temperature.
 
Some of the more common symptoms that could indicate an overdose include-Hallucinations,extreme dizziness,slurred speech,abnormal pulse,dificulty breathing,change in pupil size, fainting,intense sweating, rapid change in body temperature.

Mheshimiwa:
Je, hizi symptoms ni kwa madawa ya kulevya yepi? meth, crack, heroine, cocaine, LSD, Gum, THC Au?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom