Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
HIVI WAHISHIMIWA.....!samahani kidogo mimi naamini vitu viwili katika ufikiri wangu:1-SIJAMWELEWA MRUSHA MADA 2-(......).
mimi naomba nikuulize swali dogo sana ndugu yangu.......
KWENYE HIYO CASE YA WOMANIZING,kuna mazingira yoyote ya mwanamke anaekuwa womanized KULAZIMISHWA?RAPE?HARRASSMENT?
au je....mwanamke anaekuwa WOMANIZED hana hatia hapo?hapaswi kukanywa?hana ndoa?
au je....mwanamke kila akitongozwa lazima AVUE?ni haki yake KUVUA?
maanake nasita kumjadili WOMANIZER il hali najua kwamba kuna mtu hapo WOMANIZEE ambaye ''haguswi'' kwenye huu mjadala ''mama'' wa mpango mzima wa (....)
mimi naomba nikuulize swali dogo sana ndugu yangu.......
KWENYE HIYO CASE YA WOMANIZING,kuna mazingira yoyote ya mwanamke anaekuwa womanized KULAZIMISHWA?RAPE?HARRASSMENT?
au je....mwanamke anaekuwa WOMANIZED hana hatia hapo?hapaswi kukanywa?hana ndoa?
au je....mwanamke kila akitongozwa lazima AVUE?ni haki yake KUVUA?
maanake nasita kumjadili WOMANIZER il hali najua kwamba kuna mtu hapo WOMANIZEE ambaye ''haguswi'' kwenye huu mjadala ''mama'' wa mpango mzima wa (....)