...alaaaa kumbeeee
ndio maana pia kuna ulazima ku sign pre-nuptials kwa hao 'professionals'!
Interesting.
Ndo maana amesema professionals.
Naona hawa watu wake wanahitaji business agreement, hawana shida ya human relationships.
Mi naona ni sawa kabisa kuandikiana mkataba.
ubaya wa mapenzi, yana raha na karaha sana, kwani unauacha wazi moyo wako tayari kwa kutumiwa na mtu mwingnine atakavyo.
nakwambia ndiyo maana sikuhizi ma bi harusi hawalii wakiolewa maana anajua kwamba kesho kutwa tu atarudi nyumbani kwao
nakwambia ndiyo maana sikuhizi ma bi harusi hawalii wakiolewa maana anajua kwamba kesho kutwa tu atarudi nyumbani kwao