TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,511
- 11,271
Nimesoma mahali kwamba siku chache zilizopita huyu mdada ametimiza miaka 22, yet mwaka 2006 alishiriki shindano la kumtafuta Miss Tanzania, na akatwaa hilo taji hivyo akawakilisha jina la Tanzania kwenye mashindano ya dunia..
Sasa kama amezaliwa mwaka 1990 ina maana mwaka 2006 alikuwa na umri wa miaka 16 (under 18)... Ilikuwaje akaruhusiwa kushiriki haya mashindano na umri ule? Au yeye mwenyewe ndiye ameamua kujipunguzia miaka?
Sasa kama amezaliwa mwaka 1990 ina maana mwaka 2006 alikuwa na umri wa miaka 16 (under 18)... Ilikuwaje akaruhusiwa kushiriki haya mashindano na umri ule? Au yeye mwenyewe ndiye ameamua kujipunguzia miaka?