Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
ukiweka kwenye mtihani utawahadaa sana watahiniwa!
Huu mzakali ukisimama na kuanza kutema cheche tayari kwa kuzama kunako kwenye njia yake si inakuwa balaa kabisa!! Nasikia pamoja na ukubwa huo, punda ndiyo balaa zaidi.Huyu wako ana miguu minne! Je na huyu anamiguu mingapi?
Utakuta lidemu linatamani liki2 kama hilo...........dada zetu hawa bana!!!