Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Konnie asante kwa kunisukumia misifa!
Last edited by a moderator:
acha mashkhara wewe.... Unakosa uhondo
Mkuu hata zanzibar hujafika?..hahahahaaa...!.mia
Uhondo pia nimefika nimekaa miezi 6, sema kuna baridi nikalazimika "Kubadili Tabia" ya kunywa sana whsky instead of coffee.
Kenya
Uganda
Rwanda
Burundi
Uingereza
Dubai
USA
China
I've been to 6 countries:
Kenya, Uganda, Zambia, Malawi, Dubai and England...
Taja zako.....
- :llama: :llama::llama::llama:
Spain only....kuna totoz bomba!!!!usipime...watamu sana!
ilikuwa kwenye thread ya Fixed Point ile ya kuendesha nyumba kwa remote, hamna neno najua huwezi zungusha, Bishanga acha asutwe, kazidi ushakunaku na kumkuwadia babu Asprin vitoto humu ndani! lol! ila sasa naona moyo wake umemdondokea The secretary, labda atafanikiwa!
Mpenzi cacico, mbona hujibu PMs zangu?ilikuwa kwenye thread ya Fixed Point ile ya kuendesha nyumba kwa remote, hamna neno najua huwezi zungusha, Bishanga acha asutwe, kazidi ushakunaku na kumkuwadia babu Asprin vitoto humu ndani! lol! ila sasa naona moyo wake umemdondokea The secretary, labda atafanikiwa!
kama jografia imelala niambie, hizo nchi zipo kontua ngapi ya greniwichi? E to W ya ikweta?.hahahaaaa....!!. miaaaah sorry nchi ya zanzibar nimefika mara 2......
pia nchi ya namanga, iramba, mpwapwa, kongwa, kondoa, sirari, nairobi,tukuyu, ikwiriri, mkuranga,mwanza, uk{ukerewe}
dadadadad nchi zote hizo, hapa jografia imelala.............
To the best of my knowledge mkuu Boflo nadhani Dubai ni jiji ndani ya UAE na sio nchi.
Binafsi nishakanyaga anga za
China
HongKong
Kenya
India
South Africa
Ethiopia
mwisho kabisa Zanzibar kama ikijiengua kutoka JMT
hiyo HONG KONG NI NCHI?