Nilikuwa nchi ya Dares-Salaam KwaWazaramo,Bagamoyo,Kaole,mlingotini,Kigoma,Tabora KwaWanyamwezi,iringa kwa wahehe,njombe kwa wabena, Tanga kwa Wadigo,Zanzibar Zambia, Syria ,Turkey, Egypt na sasa nipo luxembourg BofloI've been to 6 countries:
Kenya, Uganda, Zambia, Malawi, Dubai and England...
Taja zako.....
- :llama: :llama::llama::llama:
Tanzania, Tanzania, Tanzania, Tanzania...................too sad!
Nilikuwa nchi ya Dares-Salaam KwaWazaramo,Bagamoyo,Kaole,mlingotini,Kigoma,Tabora KwaWanyamwezi,iringa kwa wahehe,njombe kwa wabena, Tanga kwa Wadigo,Zanzibar Zambia, Syria ,Turkey, Egypt na sasa nipo luxembourg Boflo
Kaizer upo? nilipendekeza uoe mmoja wa twins wangu, ukaingia mitini! upo lakini? mbona umeshangaa nchi mkweo alizopita? kulikoni?
nimetembea nchi nyingi sana....
Ilala
temeke
kinondoni
bunda
tarime
rorya
geita
bukombe
chato
mbeya
namtumbo
na hivi karibuni nina mpango wa kwenda nchi ya meru na loliondo........
Nina kajisafari ka kwenda Sychelles next wik, nna ticket moja loose uko tayari nikakupige mswaki wa macho accompany with me?
1 . Ureno
2 . Portugal
3. Netharland
4. Holland
5. Uholanzi
6. Spain
7. Hispania
8. England
9. Britain na
10. Uingereza
next week nina safari kwenda nchini tandahimba, haitowezekana
mbona kama unataja timu za mpira