Nyie nanyi mnakoseaga lol hapa huhitaji kutuma application letter amah!! Anza kuchachandua tangu asubuhi by the time mnakutana mwenyewe anabembeleza. Ahh kumbe nimeuliza swali ehee niambie Masaki umesharudi na ushauri sweetie?
Jamani ushauri si ndio huo. Halafu wewe ni ''virus'' hapa JF kwa sababu wiki iliyopita hukuwepo wala sikuwa na mada nyingi za kuchangia, nikawa nafanya na kazi za bepari wangu! Sasa leo naona umenikamata tena!
Heeh hivi mada ilikuwa inasemaje tena vile?
hawakuwa siriaz hao!MTU AKIJITUTUMUA KWELI KWELI HUCHOMOKI!Jamani kwa dunia ya sasa Mungu aturehemu.Mimi binafsi nina evidence.Wakaka zaidi ya 20 walionijia na gia ya KUOA.nilipowaambia mie nimeokoka si-DO kabla ya ndoa nakuhakikishieni wote walinikimbia.
Jamani mbona uwii nimeinunua kesi. PoleJamani ushauri si ndio huo. Halafu wewe ni ''virus'' hapa JF kwa sababu wiki iliyopita hukuwepo wala sikuwa na mada nyingi za kuchangia, nikawa nafanya na kazi za bepari wangu! Sasa leo naona umenikamata tena!
Heeh hivi mada ilikuwa inasemaje tena vile?
Hapo kwenye red hapo, honestly that statement TURNS ME OFF COMPLETELY!!! Naweza nisimtafute tena! Hiyo ni dalili ya mwanamke ambaye hajiamini katika suala zima la usafi wa mwili wake na hata nguo zake za ndani! Excuse my French!!
hapa hamna aliyezipa dhambi rank Fide, makatazo yote kwenye amri za Mungu ukiyafanya ni dhambi. kama hili la kuzini
Hahaahahh Kaizer unataka kufukuza watu hapa jamvini nimekustukia lol!! na zile za long distance zinahesabiwa? lol
where is my Mrs Nyamayao with her Signature when we need her the most?
hivi Chrispin yuko wapi?
wakati gani mwafak awa kuzini?? ukimpata mzinifu mpya
wakulu ngoja kwanza
hivi Chrispin yuko wapi?
halafu kwa vile kila mchangiaji haoa ameshamega/megwa ( I mean ambaye bado anyooshe kidole), tupeana uzoefu
je ilikuchukua muda gani kumega/gwa mara ya kwanza? experience is the best teacher
Mimi ilikuwa karibu mwaka
Wapendwa
Eti ni muda gani unafaa kupita kabla wapenzi wapya hawajaanza kukutana kimwili? Yaani ni couple mpya inatakiwa upite muda gani kabla kaka hajaomba game au dada hajakubali game?
Nauliza tu!!
Wapendwa
Eti ni muda gani unafaa kupita kabla wapenzi wapya hawajaanza kukutana kimwili? Yaani ni couple mpya inatakiwa upite muda gani kabla kaka hajaomba game au dada hajakubali game?
Nauliza tu!!
Ni tamu sana mkifanya on the first date!
Ni tamu sana mkifanya on the first date!
Eh Pearl mamii umekwenda mbali!! But thanx sijampata na baso siamini kama nitajampata tena.my dia kama umepata mtu wa kufanya n u had been diyng for it just do for love maisha yenyewe mafupi mpz,but kinga ni bora sana,dnt quote mez
Wanasema eti kawahi sokoni karibu wanafunga Mr asije lala njaa.
Huyu jamaa almanusura azimie alikuwa kapatwa na kiu ya ajabu yupo kurekebisha koo lake.
Hii ishu nyie binadamu ndo mnarank dhambi eti kuzini ndo dhambi kubwa si umeona hapo mnasema No sex before nn.. lakini uongo ruksa any time jamani kuonja kabla ya ndoa ni muhimu lazima uonjwe mkisha ridhiana mnaenda kwa mchungaji au faza anaweka mambo sawa.