Kaka Mpendwa
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 772
- 415
Huwezi kujua kama anakupenda. Shukuru Mungu yuko busy, msaada hapo ni wewe pia kuwa busy.
Kama wako ni wako tu, na kama si wako hata asipokuwa busy na kutimiza miadi, bado si wako atapeperuka anytime 't'.
great FM..
angekuwa ni mume ungekuwa na haki ya kumfuata hata huko ofisini.. hivyo basi, jitahidi kutambua commitment yake kwako. Yaani je moyo wake uko kwako au??
Mpe nafasi,usiwe na haraka sana