Wadau, kama swali linavyojieleza hapo juu.
Naomba niwe specific kidogo, mi nasikia wenzetu(ulaya/marekani) huwa wanafanya-filming kwanza na baadaye wanaingiza sauti kwenye picha.
Swali ni kwamba, kwenye movie kuna matukio mengi tena tofauti sana, sasa hawa jamaa wanawezaje kwanza kuigiza hizo sauita na baadae kuziingiza(mixing) kwenye picha?
Just curious!
Naomba niwe specific kidogo, mi nasikia wenzetu(ulaya/marekani) huwa wanafanya-filming kwanza na baadaye wanaingiza sauti kwenye picha.
Swali ni kwamba, kwenye movie kuna matukio mengi tena tofauti sana, sasa hawa jamaa wanawezaje kwanza kuigiza hizo sauita na baadae kuziingiza(mixing) kwenye picha?
Just curious!