How Does A Single Father explain to his daughter about Breast,Bras,Tampons & Periods?

Boflo

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
4,384
4,409

How Does A Single Father explain to his daughter about Breast,Bras,Tampons & Periods?
 
unampeleka kwa mama anayejiheshimu wa jiran amwambie
unampeleka kwa aunt yake
 
so are you a gay dad now too?

+10 to Rose1980 for good advice
 
Last edited by a moderator:
Ikiwa wewe baba unayajua hayo, utashindwaje kumweleza? Hivi shuleni hakuna walimu wa kiume wanaofundisha somo la biolojia linalogusia mada hizo? Kuwa mwalimu wake.

Na mtoto wako wa kiume baleghe, je, utashindwa pia kumweleza matumizi na umuhimu wa kondom, VVU/UKIMWI, maradhi ya zinaa, mimba zisizotakiwa?

Kama mzazi, bila ya kujali kama wewe ni baba au mama, ukishindwa kuyafanya hayo uelewe kuwa huko nje kuna walimu (mashoga namarafiki zao wabaya) ambao wanaweza kuwapotoa watoto wako.
 
unampeleka kwa mama anayejiheshimu wa jiran amwambie
unampeleka kwa aunt yake

Nakubaliana na wewe Rose1980, By the way, kwenu huyo mtoto hana mama mkubwa au mdogo mpaka baba afanye hiyo kazi?? Inamhusu nini baba kuyazungumza yote hayo kwa bintiye? Mbona kama napata mashaka ....
 
Nakubaliana na wewe Rose1980, By the way, kwenu huyo mtoto hana mama mkubwa au mdogo mpaka baba afanye hiyo kazi?? Inamhusu nini baba kuyazungumza yote hayo kwa bintiye? Mbona kama napata mashaka ....



Kaka mazingira yanatofautiana,hapa ninapoishi kuna jamaa anaishi yeye na binti yake bahati mbaya mama wa huyo binti ameshatangulia mbele ya haki,ikaja siku binti akaja kwa baba yake anamuambia baba ona ninatoka damu hapa(bleeding) na hakuna mama mdogo wala shangazi karibu....
 
Dah!ngumu hiyo!ndo ujifunze kuishi na watu vizuri,yani unagombana na ndugu zako mpaka unakosa hata wa kumuomba msaada!lol
 
Boflo, ask one of your close female friends to do it. i assume you have a few female BFFs you can trust. most of us do anyway. sorry about my 1st post, I was moody when i wrote it :<
 
It is possible kumwambia wewe mwenye. It is just kuvaa ujasiri na kujua kuwa she is your responsibility.
Nina rafiki yangu, mama yao aliwaacha wakiwa katika teen age, wakiwa hawajavunja ungo akaenda zake Ulaya. So walishi na baba yao tu, na ndiye aliyewafundisha kuna kuvunja ungo na muda ulipofika aliwaelekeza cha kufanya na pads akawa anawanunulia. Na ndo alikuwa anawafundisha mambo mbali mbali regarding ukuaji.
Na hadi leo wanamrespect na kumshukuru sana baba yao na ni wakubwa sasa na familia zao.
Mama yao hakuwahi kurudi hadi leo.
So take your reponsibility kaka.
 
Muombe girl friend wako amwambie. Alternatively nunua vitabu umpe asome... kutakuwa hakuna hata haja ya kumfundisha kwani tatajua in advance mabadiliko ya mwili wake. Pia uwe unampa ela ya matumizi ili aweze nunua pedi pale anapohitaji.

Ila nikwambie kitu... usidhani kuwa wote tulolelewa na mama tulipata hayo mafunzo. Mimi mama yangu alikuwa very distant lakini nilimake it in life kwa maana kuwa sikuharibikiwa. Kuwa karibu na wanao kama baba yetu alivyokuwa anafanya. Hata ungekuwa na mama yake si guarantee angekuwa anamuelimisha.
 
mmmh, mnaishi laboratory wa wapi? Iko too much of a lab experment.

hii ni kwa sababu ya maisha ya ukoloni tuliyoyazoea. Baba au kaka unamwogopa kama kituo cha polisi ambacho msangi yupo.!! Inahitaji corage na kujiamini kama mzazi na binti pia. Wadogo zangu wa kike huwa nawafunda mwenyewe mpaka mama ananikubali. Mpaka sasa hivi akikutana na kitu tofauti na mambo ya uanamke anakuwa huru kunieleza. Inahitaji kumzoesha asione kama dhambi kuzungumzia mambo hayo ili awe huru kuongea. Inabidi uwe umemzoesha kwenye majadiliano ya vitu vidogo vidogo kwanza akuone kama mtu wa karibu kwake. Hao majirani watamharibu na hatapata elimu iliyo wazi kwani ataogopa kuwaeleza mambo yake watawaambia watu wengine. Its hard kwa baba lakini inakubidi uvae koti la baba-rafiki.
 
Back
Top Bottom