Acha umbea...........sema kama unataka mchumba, Ummu kulthum hana hiyana kumkaribisha bi. mdogo
Nawe acha umbea!
Dada yako mama Kipanga hajaolewa mpaka leo,kwanini ucmtafutie mchumba kazi kutafutia wanawake wa wenzio wanaume?
Amekwambia anataka mume?
Utaulimbokiwa ku Mabwepande ebo!
English course puliiiz
Me hakuniambia mamito,
c unajua wanaume walivyo?
Lakini usimwambie.
My daily bread is construction!
HOW DO I LOOK?
platozoom ndo nani tena huyo bibie??
Dah.....
Kwa sisi tunaoelewa saikolojia ya wanawake...........nahitimisha kwamba umenipenda, nami nakuahidi ummu kulthum hana hiyana kukukaribisha kama mke wa tatu
English course puliiiz
lililililililililililililililililililililililililililililiNimekusikia hani........haja ya mja kunena............................!
Nimekusikia hani........haja ya mja kunena............................!
lilililililililililililililililililililililililililililili
Nani aje kwako ulivyo mlevi hivi
Khaaaaa..
lilililililililililililililililililililililililililililili
ishhhh!!English course ya nini hapo S natumai umeelewa kama nilivyokuelewa hapo kwenye nyekundu,kuna Tanzanian english,Nigerian english,american english na kadhalika,KISWAHILI FASAHA kinazungumzwa TANZANIA PEKEE wengine wanachapia.kikubwa ni maelewano hata kwa lugha ya alama mamito!!