Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #41
Pamoja na mishahara ambayo ni mikubwa kwa wanasiasa (inc. posho) bado hawajaacha rushwa, uzembe kazini, kuhujumu wananchi na taifa? (this warrant for slash/cut of pay???
Tatizo la nchi hii si "how much people are paid for job done" tatizo ni tunapimaje perfomance? na kama hawakuzifikia what are remedies??..
Hapo ndio unafanya kosa; inaanzia mtu analiipwa kiasi gani na kwanini? Huwezi kulipa tu alimradi unamlipa mtu.