Problem iliyoko TZ na nchi zingine za Africa ni kwamba hakuna any independent body for regulating maslahi ya wabunge and other executive political figures. Sheria ama kanuni zinazohusu maslahi ya wabunge zinapitishwa na wabunge wenyewe...katika hali kama hiyo ulitarajia nini?
Hebu fikiria kelele zisizo isha kati ya serikali na wakufunzi wa vyuo vikuu, walimu, madaktari and the like all crying for the same thing...maslahi duni!!!
Hebu fikiria kelele zisizo isha kati ya serikali na wakufunzi wa vyuo vikuu, walimu, madaktari and the like all crying for the same thing...maslahi duni!!!