PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,997
Habari za asubuhi wadau? Kama kuna wanaokumbuka wiki chache zilizopita nilitoa uzi kuomba ushauri kuhusu the two women in my life. Watu walinishauri vizuri na nikaamua kufuata ushauri wa wadau kadhaa walioniambia niahirishe kumtambulisha mchumba wangu nyumbani, kisha nikapunguza mazoea na mdada rafiki yangu kama nilivyoshauriwa pia. Ila mambo yameenda tofauti na calculation zangu(as always). Wiki iliyopita niko outing na mchumba wangu nikaanza;
Pet feza: Hun, u look down today-vp kwani?
Hun: Sikiliza Pet money, Wiki iliyopita ulitakiwa unitambulishe kwa familia yako ukaniambia something came up na hatutoweza kwenda kwa sasa. Nikakubali! sasa hivi ni kama wiki imepita hukumbushii wala hujali. Sasa hvi tuko hapa kilichotushinda kwenda ni nini?
Pet feza:....
Hun: Siku hizi umezidisha communication na zawadi na hii mitoko, kisha nakuja kugundua umepunguza mawasiliano na mke mwenzangu (yule dada rafiki yangu). I am a psychologist, You are not lying to me one second! Unajua hizo ni dalili za mwanaume gani?
Pet feza: A man who cares?
Hun: A cheating fiancee!!!
Ile nasema, nini? keshaondoka siku nyingi! Hata kumfuata nikasita! Toka hapo kakata mawasiliano.
Mi nikaona hamna shida ngoja nitulie nianze sasa kuwaza nani nampenda kati ya two of them. Guys, I have come to realise kwamba ni bora nibaki kwa yuleyule mchumba wangu.
Nikamuona brother steve aliyenikataza kusitasita. Steve akaniambia, Pet shilingi mwanzoni nilikuambia, the grass always looks greener on your neighbours garden! but dd you listen?
Ikabidi nikambembeleze mchumba wangu tukutane nicome out clean. Nikamwambia everything ili aache kufikiri nilicheat.
Ha! Ndo nikaharibu zaidi! Akaja na mapozi yake ya ki'psychologist' akaniambia, Yani pet money bora ungecheat, nikajua shetani kakupitia na mambo yanaweza kwenda sawa, but you being in love with another woman? binti kalia sana!
Sasa hivi nipo nipo nimeshapiga simu mpaka mtandao utanishtaki kwa kufanya switch zao ziwe busy kiasi hicho...mama yangu hataki kuongea na mimi mpaka amuone huyu mchumba niliyemwambia naenda kumtambulisha. Kwa kweli I dont regret at all for what happened kwa sababu I've learned a lot kuhusu relationships zinavyoweza kutunzwa na zikawa sooo gud..
Please naombeni mchango wenu wa mawazo kama mlivyoniadvice hapo awali,
How can I find my way back to her tender heart?
Pet feza: Hun, u look down today-vp kwani?
Hun: Sikiliza Pet money, Wiki iliyopita ulitakiwa unitambulishe kwa familia yako ukaniambia something came up na hatutoweza kwenda kwa sasa. Nikakubali! sasa hivi ni kama wiki imepita hukumbushii wala hujali. Sasa hvi tuko hapa kilichotushinda kwenda ni nini?
Pet feza:....
Hun: Siku hizi umezidisha communication na zawadi na hii mitoko, kisha nakuja kugundua umepunguza mawasiliano na mke mwenzangu (yule dada rafiki yangu). I am a psychologist, You are not lying to me one second! Unajua hizo ni dalili za mwanaume gani?
Pet feza: A man who cares?
Hun: A cheating fiancee!!!
Ile nasema, nini? keshaondoka siku nyingi! Hata kumfuata nikasita! Toka hapo kakata mawasiliano.
Mi nikaona hamna shida ngoja nitulie nianze sasa kuwaza nani nampenda kati ya two of them. Guys, I have come to realise kwamba ni bora nibaki kwa yuleyule mchumba wangu.
Nikamuona brother steve aliyenikataza kusitasita. Steve akaniambia, Pet shilingi mwanzoni nilikuambia, the grass always looks greener on your neighbours garden! but dd you listen?
Ikabidi nikambembeleze mchumba wangu tukutane nicome out clean. Nikamwambia everything ili aache kufikiri nilicheat.
Ha! Ndo nikaharibu zaidi! Akaja na mapozi yake ya ki'psychologist' akaniambia, Yani pet money bora ungecheat, nikajua shetani kakupitia na mambo yanaweza kwenda sawa, but you being in love with another woman? binti kalia sana!
Sasa hivi nipo nipo nimeshapiga simu mpaka mtandao utanishtaki kwa kufanya switch zao ziwe busy kiasi hicho...mama yangu hataki kuongea na mimi mpaka amuone huyu mchumba niliyemwambia naenda kumtambulisha. Kwa kweli I dont regret at all for what happened kwa sababu I've learned a lot kuhusu relationships zinavyoweza kutunzwa na zikawa sooo gud..
Please naombeni mchango wenu wa mawazo kama mlivyoniadvice hapo awali,
How can I find my way back to her tender heart?