m_kishuri
JF-Expert Member
- Jan 27, 2010
- 1,484
- 372
COMING SOON bongo...
COMING SOON bongo..............
[MadameX;1687064]Stori za abunuwasi hizo
Endelea kuota ndotoCOMING SOON bongo...
Mkuu, kwani wao (WALIBYA) ndio hawahitaji Demokrasi na kuenjoy keki ya nchi yao?Hao Walibya waxhenzy! Wanaigaiga tu vitu, bila kuangalia vina usadifu gani kwao.... Niko tayari tumsajili Gadaffi aongoze walau miaka minne iliyobaki ya Handsome Boy!
Duh! Huyu jamaa maeneo ya kijiji yako salama kweli??
Hao Walibya waxhenzy! Wanaigaiga tu vitu, bila kuangalia vina usadifu gani kwao.... Niko tayari tumsajili Gadaffi aongoze walau miaka minne iliyobaki ya Handsome Boy!
Mkuu, kwani wao (WALIBYA) ndio hawahitaji Demokrasi na kuenjoy keki ya nchi yao?
you can go to hell na ujinga wako. tulipokaribia uchaguzi si walikwenda kwake ili awape mkwanja wa kuibia kura zetu? ghadafi ndiye alisababisha mseveni na mugabe wanaiba kura mpaka leo, baada ya kuwaambia wasiachie madaraka kwa sababu si kura/uchaguzi ndiyo uliowaingiza madarakani. shame on you!!!
Nasikia ccm wamemomba wawape muongozo jinsi ya kuwakabili cdm wakianza maandamano yao, Gadafi kasema wasijali atakuja mwenyewe kuwashughulikia, kwa Wa Tanganyika dakika 5 kwisha habari wote chali barabarani.Hao Walibya waxhenzy! Wanaigaiga tu vitu, bila kuangalia vina usadifu gani kwao.... Niko tayari tumsajili Gadaffi aongoze walau miaka minne iliyobaki ya Handsome Boy!