Jamani natafuta housegirl kwa hali na mali..awe na umri chini ya miaka 25..mshahara 30000 kwa mwezi..chakula na malazi kwangu...kama yupo naombeni mniandikie namba ya simu nimpigie
Jamani natafuta housegirl kwa hali na mali..awe na umri chini ya miaka 25..mshahara 30000 kwa mwezi..chakula na malazi kwangu...kama yupo naombeni mniandikie namba ya simu nimpigie
Hivi huo mshahara sio uko chini kweli?
ni ndogo ila kibongobongo wasichana wengi wanaofanya kaz za kawaida tu za nyumbani wanalipwa hivyo...kwahivyo wachache wanalipwa zaidHebu kuwa na hata huruma kidogo. Mshahara wa 30K hata Mungu atakulani. Huko ni kumfanya binti wa watu mtumwa. Hata kama ana shida lakini 30K ni fedheha
jaman 30 ndogo xana update kidogo
HouseBOY Vp?
Kirahisi hivyo??poyeee
Mmh Housegirl kwa style hii kweli?ukipata Mwizi?
Housegirl ni kazi ya ziada mana unatakiwa kumjua kiundani.
Wenzako haya mabo ya jamvini wenzio tunayaanaglia afu tunayaachaga hapa we mwenzetu unayaona ni serious sana?
Kalagha baho!
wamekua wa tabu kweli hata mie natafuta ila 30,000 mshahara huo wa mwaka gani ndugu yangu??
naweza kupata kwa imani