Housegirl kufanya kila kitu

Mimi ndo nilietoe hiyo post kwamba mke wangu hafanyi kitu wakati ana mshahara ,maana yangu haikuwa tugawane majukumu nusu kwa nusu sivyo wala haiwezekani kwa sababu mimi ndo nilie oa,nilichokuwa namaanisha ni kwamba ,mwanamke inatakiwa achangie kwenye mambo madogomadogo ,mfano unakuta mimi sipo nyumbani na labda sukari imeisha ,unaporudi kazini anakuambie sukari imeisha naomba hela nikanunu wakati yeye kapata mshahara Jana ,hapa ndipo ninapoahangaa iweje aniombe mimi pesa ya kitu kidogo kama hicho wakati mshahara anao?
Hudumia mahitaji ya ndani bwn,kwani tatzo liko wapi...
 
Hahahahaa nimecheka sana. Hapo ni swala la busara na upendo tu sio swala la mshahara wala nini, na siku zote wewe kama nwanaume huwezi kutegemea mshahara wa mkeo, mke mwema atapata kipato na kitakuokoa maana kuna siku utakwama hapa wife kama amejaaliwa anaplay part.
Cha ajabu wengine hata husband akikwama yeye anabana tu ndio hapo baadhi yetu wanaume tunashangaa na kulalamika.
Binafsi mi sina dada wa kazi mpk ss coz nimeolewa na sina mtt. Ila ukishapata mtt na uko kazini dada lazima. Na wanaume lzm mjiongeze na mpunguze utemi. Haiwezekani nikipata mshahara unasema tushee majukumu. Tunatoka kazini pamoja unataka niingie jikoni. Km ni hvy basi mshahara wako ndo uhudumie nyumba. Kuna post nlioka mkaka analalamika humu mkews hatoi pesa na ana mshahara. Ukimuuliza kama yy anafua au kupika atakwambia sio kazi yake. Kwa nn mnawaonea wanawake hvy?
 
Kweli mkuu sio vizuri kuwaita beki 3, hawa ni watumishi wa nyumbani. Walikuwepo toka enzi na wnzi na Mungu aliwatambua hivyo, kuna kipindi kama mama wa familia hana uwezo wa kuzaa Mungu aliruhusu kupitia mke, mme azae na hawa watumishi na familia ikaendelea.
kwann mnaita binadam km nyie beck 3? kuweni na utu na ustaarabu! ....kila siku mnahangaika mikoani kutafuta hawa dada zetu watusaidie kazi majumbani sa hv kila mtu anajifanya anawachukia..roho mbaya sana muache! hawa wadada ni muhimu kuwaheshimu na wakati huo huo kusaidiana nao kazi za nyumbani awe baba ama mama!
 
Hapo naona love lipo la magumashi aisee.
Wife mwingine akipiga bingo zuri unakuta kabadirisha hadi fenicha za ndani ili tu aku suprise na umkubali kama yeye ni jembe mwingine hata sukari tu shida.Duuh hizi ndoa kweli kila moja na majanga yake.
Mimi ndo nilietoe hiyo post kwamba mke wangu hafanyi kitu wakati ana mshahara ,maana yangu haikuwa tugawane majukumu nusu kwa nusu sivyo wala haiwezekani kwa sababu mimi ndo nilie oa,nilichokuwa namaanisha ni kwamba ,mwanamke inatakiwa achangie kwenye mambo madogomadogo ,mfano unakuta mimi sipo nyumbani na labda sukari imeisha ,unaporudi kazini anakuambie sukari imeisha naomba hela nikanunu wakati yeye kapata mshahara Jana ,hapa ndipo ninapoahangaa iweje aniombe mimi pesa ya kitu kidogo kama hicho wakati mshahara anao?
 
Hahahahaa nimecheka sana. Hapo ni swala la busara na upendo tu sio swala la mshahara wala nini, na siku zote wewe kama nwanaume huwezi kutegemea mshahara wa mkeo, mke mwema atapata kipato na kitakuokoa maana kuna siku utakwama hapa wife kama amejaaliwa anaplay part.
Cha ajabu wengine hata husband akikwama yeye anabana tu ndio hapo baadhi yetu wanaume tunashangaa na kulalamika.
Uko sahihi. Kusaidiana ni muhimu. Mi mume wangu hata akikwama kodi tunagawana pasu kwa pasu. Na mambo mengi ya ndani nayatatua hata gari ikiishiwa wese mara nyingi naweka and i dnt complain. Tatizo linakuja kwa wale wanaume wanaoona ni haki kugawana majukumu ya pesa ila si haki mkewe kupumzika akitoka kazini na kumwacha maid asaidie
 
Akienda kwenye hiyo ajira yamke binafsi nani anabaki na mtt
Mtoto anasoma kindergaten anampeleka shule na biashara zake ni karibu jioni anamchukua kama kawaida wala haina shida kwa sasa sijui badae.
Hata hivyo hakuna sababu genuine za yeye kutofanya vishughuri vya ndani unajua navyo ni mahaba ati!
 
Vitu kama usafi wa chumbani kwenu,kupika,kufua na kunyoosha nguo za mume wangu ni jukumu langu
 
Nimekupenda bure dada yangu Mungu akujalie uendelee kuinjoi ndoa yako.
Si sawa kugawana majukum pasu kwa pasu aisee basi tu itokee pale ukikwama tu ndio hamna namna.
Uko sahihi. Kusaidiana ni muhimu. Mi mume wangu hata akikwama kodi tunagawana pasu kwa pasu. Na mambo mengi ya ndani nayatatua hata gari ikiishiwa wese mara nyingi naweka and i dnt complain. Tatizo linakuja kwa wale wanaume wanaoona ni haki kugawana majukumu ya pesa ila si haki mkewe kupumzika akitoka kazini na kumwacha maid asaidie
 
Vitu kama usafi wa chumbani kwenu,kupika,kufua na kunyoosha nguo za mume wangu ni jukumu langu
Wengine hivyo hawavijui nashangaa sana.
Kuna kutingwa kweli kazi nyingi bosi kakupa kazi za ziada mpaka zingine unafanyia nyumbani kama home work ya primary.
 
Binafsi mi sina dada wa kazi mpk ss coz nimeolewa na sina mtt. Ila ukishapata mtt na uko kazini dada lazima. Na wanaume lzm mjiongeze na mpunguze utemi. Haiwezekani nikipata mshahara unasema tushee majukumu. Tunatoka kazini pamoja unataka niingie jikoni. Km ni hvy basi mshahara wako ndo uhudumie nyumba. Kuna post nlioka mkaka analalamika humu mkews hatoi pesa na ana mshahara. Ukimuuliza kama yy anafua au kupika atakwambia sio kazi yake. Kwa nn mnawaonea wanawake hvy?
Kwahiyoo asipougusa mshahara wako asilete hausi gero si ndio?
 
Wengine hivyo hawavijui nashangaa sana.
Kuna kutingwa kweli kazi nyingi bosi kakupa kazi za ziada mpaka zingine unafanyia nyumbani kama home work ya primary.
Kutingwa ni kweli kupo ila kuna wengine wanaendekeza uvivu tu. Na haimaanishi kila siku utakua mtu wa kutingwa
 
Mkiishi wawili naona hamna haja ya dada,ila mkizid hapo na mama anafanya kazi dada ni muhimu
Hapa tatizo sio kuwa na mtumishi wa nyumbani, hawa watu ni muhimu sana, wanatuangalizia nyumba na mali zetu, na watoto pia.
 
Niliwahi kuishi na uncle enzi nasoma, uncle alikuwa mfanya biashara mkubwa hapa mjini, so walikuwa bize sana na mambo yao na mkewe aunt.
Kitu nilichokuwa nashangaa nikiwa teenager ni utaratibu aliojiwekea yule aunt kwenye familia yake.
Yaani jioni tu akilejea home basi ana take over all domestic duties akiwa na stori na uncle wangu.
Kwakuwa nilikuwa teeneger sikuelewa msimamo wa aunt na alikuwa akimwambia hg apumzike ataendelea na mambo yake siku inayofata.
Huyo auntie ako alikuwa mwelewa sana aisee wengi wakiwa na beck three hawagusi kitu wao ni kuagiza kila kitu utafikiria wao hawachoki. Sasa had msosi wa mumeo Dada ndo awapikie na ukute ametake care watoto kazi zote nao wanachoka. Kuna mmoja anakimbiwa kila siku na hao wadqda kuwa house girl ni utumwa aisee
 
Wala sioni shida kumsaidia kazi mtumishi wako kama muda unakuruhusu . mfanye afurahie kuishi kwako, anatafuta maisha na yeye usimfanye mtumwa kwa visenti vidogo unavyompa.
Ndo zenu wanaume wa kibongo kujitia mnahuruma kwa mabeki tatu, mbona wake zenu hamuwaonei huruma hamna lolote mnataka papuchi za mabeki tu kwa mwamvuli wa huruma
 
Umeonaeh, yaani mtu kashinda nyumbani, kafanya usafi nyumba nzima( kuna watu wamejaaliwa kujenga ma Villa), usafi wa nje, alishe na kusafisha watoto, alishe na mbwa ulofuga, apike na kuhakikisha maji yapo, afue nguo zako na za watoto, halafu daily hakuna off wala wikend, jamani wanawake na wanaume kuweni na.huruma.

Hawa hawa nao wananyege wengi ni nyakati za kubarehe wanahitaji mgegedo angalau.

Huyo auntie ako alikuwa mwelewa sana aisee wengi wakiwa na beck three hawagusi kitu wao ni kuagiza kila kitu utafikiria wao hawachoki. Sasa had msosi wa mumeo Dada ndo awapikie na ukute ametake care watoto kazi zote nao wanachoka. Kuna mmoja anakimbiwa kila siku na hao wadqda kuwa house girl ni utumwa aisee
 
Hahahaha kweli mkuu kuna wanawake wanajua kutoa maagizo kufanya wao hapana...hawapendi kujishughulisha ....kwa upande wangu kuwa na beki 3 hata kama unamlipa sijisiki kumwachia kila jambo hata kama nimechoka unamsaidia hata kutenga chakula mezani ajione naye ni mtu katika familia
Unafanya vzr, mfanye ajisikie kuwa kwako, kuna dada alikuwa mfanya kazi familia.moja pale kariakoo mtaa wa living stone, aliwalea wale watoto vizuri na mabosi wao waliishi nao vzr sana kama ndugu.
Mwaka mwaka 2010 mama wa familia akafariki, baba akabaki, na badae yule dada akacha ile kazi akaanza maisha yake, akawa anajishughurisha pale kariakoo, maisha yakaanza kumnyokea.
Mwaka juzi baba nae kafariki pia watoto ndio wamebaki na huyu dada kashaolewa.
Kutokana na kuishi vzr hawa watoto wanasaidiwa na huyu aliyekuwa mtumishi wao.
Hili ni funzo kwa sisi tuliojaliwa kidogo, tuishi nao vzr hawa watu ukiona gkufai basi muondoe lkn usimnyanyase.
 
Back
Top Bottom