Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Kuna bwana mmoja alikuwa ameajiri msichana wa kazi kutoka kijijini, sasa kuna siku moja baada ya kupata msosi akaomba toothpick. mazungumzo yalikuwa hivi:-
Baba: Dada naomba toothpick (stick).
Msichana: Zimeisha baba.
Baba: Hivi mnazitumiaje, si juzi tu nimeleta kikopo kizima hapa jamani?
Msichana: Baba, labda uwaulize hao hao wanao mimi nikisha tumia huwa narudisha humohumo.
Baba: Dada naomba toothpick (stick).
Msichana: Zimeisha baba.
Baba: Hivi mnazitumiaje, si juzi tu nimeleta kikopo kizima hapa jamani?
Msichana: Baba, labda uwaulize hao hao wanao mimi nikisha tumia huwa narudisha humohumo.