Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
......Wana JF,
nimekaa takribani mwezi wife kasafiri kikazi, naona house girl kila nikirudi home ananichangamkia, mara utakula nini leo...mara akae vibaya ...mara kavaa kanga moja...ila yuko bomba, naomba ushauri nimtimue?
Wengine bahati kama hizi hatuzionagi.............