mbombongafu
Member
- Nov 1, 2010
- 61
- 3
Wana JF,
nimekaa takribani mwezi wife kasafiri kikazi, naona house girl kila nikirudi home ananichangamkia, mara utakula nini leo...mara akae vibaya ...mara kavaa kanga moja...ila yuko bomba, naomba ushauri nimtimue?
Angalia hapo kwenye Red colour........ wewe una lako mbona ushamtamani muda mrefu sana?