Wewe nae unanikera, wamjibu kimaukweli hivyo wakati mwenzio anatania, hana cha house girl wala nini huyu, au umemsahau na post zake!Akinywa viroba we inakukera nini kwani mpaka umfukuze especially kama anafanya kazi vizuri?
Wewe nae unanikera, wamjibu kimaukweli hivyo wakati mwenzio anatania, hana cha house girl wala nini huyu, au umemsahau na post zake!
Wewe nae unanikera, wamjibu kimaukweli hivyo wakati mwenzio anatania, hana cha house girl wala nini huyu, au umemsahau na post zake!
Wengi wanywao vikabali (viroba) huchangiwa sana na uhaba wa kipato .
Kwani unamlipa sh ngp per monthly ?
Kama unamlipa below laki 1 kwa mwezi ni haki yake anywe pombe hiyo.
Mi wa kwngu namlipa laki mbili per moon , so anakula Maji ya Tanzania Brewries na juzijuzi kaniomba loan anataka anunue Ka'Bajaji kake.
Nafikiria kumsaidia , nawe jitahidi kum'boreshea uone kama atakunywa za kwenye mifuko.
Wewe nae unanikera, wamjibu kimaukweli hivyo wakati mwenzio anatania, hana cha house girl wala nini huyu, au umemsahau na post zake!
wapi wewe unajipaishia bure unaweza kuta unampa chini 30,000. Tunaolipa hizo hela hatuongeagi.