House girl na Condom...

Mkare

JF-Expert Member
Dec 21, 2010
504
78
House girl alipokuwa akifagia chumba akaona condom uvunguni akauliza hii ni nini? Mama akamjibu kwenu hamt... Housegirl akajibu...tuna t...lakini sio mpaka ngozi itoke...
G9t my pipo, naona huu mwezi uliokamatwa hauachiwi....lol
 
pouwa mkubwa tatizo house gal alikuwa hajui dawa ya penz afu anaonekana wa kuja ya bush katoka juz kat 2
 
House girl alipokuwa akifagia chumba akaona condom uvunguni akauliza hii ni nini? Mama akamjibu kwenu hamt... Housegirl akajibu...tuna t...lakini sio mpaka ngozi itoke...
G9t my pipo, naona huu mwezi uliokamatwa hauachiwi....lol

mama chunga hoohoooo.... unamkumbusha fisi mizoga? cku akitaka kutest jinsi ngozi inavyotoka
usilalamike hoo katembea na mme wangu.
 
mama hapo umekwisha, maana bek3 huyo kakwambia yeye huwa anakula kavkav. Ataitafakari hiyo ngozi na aende kumwambia mmeo kwamba anaweza msaidia ngozi isitoke na wabush anavyojiachia!!!!!!!! utakomajeeeeeee!!!!!!!!
 
mkubwa hiyo imetulia huyo bek3 inaonekana ni bonge la mjanja wa kujibu maswali papo kwa papo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom