Silicon Valley
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,092
- 1,116
WANA JF NAOMBA MSAADA KUPATA MFANYAKAZI WA NDANI, ANAYEWEZA KUISHI HAPA HAPA, MSHAHARA NNA WA KUVUTIA NA NI MAELEWANO, ningependa awe na mdhamini, iwapo tutakosa wa kuishi naye basi kwa muda tukipata wa kuondoka si mbaya,
Vilevile kama pana mtu anawaelewa mawakala wa ajira kama hizi naomba contacts zao, au mahala walipo kwa msaada zaidi..
MAJIBU WAWEZA NITUMIA PM, AU JIBU HAPA TU
Vilevile kama pana mtu anawaelewa mawakala wa ajira kama hizi naomba contacts zao, au mahala walipo kwa msaada zaidi..
MAJIBU WAWEZA NITUMIA PM, AU JIBU HAPA TU