Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,265
- 105,432
Nilitamani iwe hivyo, lakini nilikuwa na-feel guilty, unajua nilikuwa nampenda sana Honey wangu na tulipanga kufunga ndoa na kuishi pamoja, ni bahati mbaya haikuwa hivyo, binti wa Kimwela akatibua Trial Marriage yangu
Sasa Mtambuzi unajikanganya.
Mara hii story ni ya rafiki yangu, mara "Trial Marriage yangu".
Kipi ni kipi? Au rafiki yako mwenyewe ndiye wewe?
Mara tu imetokea tena umesahau Kireno unaongea Kiswahili?