Twande
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 543
- 172
Yule House Girl alikuwa ni Chui ndani ya ngozi ya Kondoo. Kwa kifupi alikuwa ni mzoefu maana amekulia Mbagala, pale alikuwa ana-pretend ili anichote na she was almost succeeed.
Kuhusu kutunga Movie, huo ni ushauri mzuri na nitaufanyia kazi.
Kweli fanyia kazi mi ntakuwa mnunuzi wa kazi zako lol. .movie zetu bado hazijanishawishi sana mana kwa mtu mwelewa sana zinasumbua kushawishi na kukuchukua ujione kweli sasa unawaona mtambuzi na anamkodolea bekitatu bafuni kapagawa. . Uone kitubkama real kumbe unaangalia cinema! Tukipata wachache kama nyinyi mtasaidia saivi soko lipo tu mabeki tatu majumbani wanaongoza kuzifuatilia na watoto! Halafu hapo umekatisha part two itakuwa ulivoanza kubembeleza kusamehewa halafu ukapgwa kibuti tu! Ila bibie nae napata picha alivojisikia vibaya mbele ya ndugu zake jamani! You was such a naughty guy lol. .